Machafuko yameanza kushuhudiwa kwenye vituo kazaa vya uchaguzi wa leo inchini CONGO (DRC).
Leo nisiku ya uchaguzi wa kitaifa nchini DRC.
Asubui namapema kuanzia aaa kumi na mbili alfajiri ndipo Ofisi zime anza kufunguliwa.
Lakini Chakushangaza tayari kuna vituo vya uchaguzi vimeanza kushuhudia machafuko.
Kwenye mji wa BUNIA Jimbo la ITURI, wananchi wame gubikwa na asira wakavamia kituo kimoja cha uchaguzi cha “ISP Bunia” kisa wanadai maandalizi ya uchaguzi eneo hilo haya kuandaliwa vizuri eti kuna dosari nyingi.
Hivo Basi wakavunjavunja vifaa za uchaguzi machine makaratasi na masanduku yote yame haribiwa. Baadaye Police ilikuja ikawatawanya kutumiya silaha.
Swali langu ni hili : Je! Eneo hili litawezeshwa tena kufanya uchaguzi? Utulivu utawale nchini Kongo?
To provide the best experiences, we use technologies like cookies to store and/or access device information. Consenting to these technologies will allow us to process data such as browsing behavior or unique IDs on this site. Not consenting or withdrawing consent, may adversely affect certain features and functions.
Functional
Always active
The technical storage or access is strictly necessary for the legitimate purpose of enabling the use of a specific service explicitly requested by the subscriber or user, or for the sole purpose of carrying out the transmission of a communication over an electronic communications network.
Preferences
The technical storage or access is necessary for the legitimate purpose of storing preferences that are not requested by the subscriber or user.
Statistics
The technical storage or access that is used exclusively for statistical purposes.The technical storage or access that is used exclusively for anonymous statistical purposes. Without a subpoena, voluntary compliance on the part of your Internet Service Provider, or additional records from a third party, information stored or retrieved for this purpose alone cannot usually be used to identify you.
Marketing
The technical storage or access is required to create user profiles to send advertising, or to track the user on a website or across several websites for similar marketing purposes.